Kutoa mafunzo kwa walimu watakaofundisha Kiswahili kama lugha ya Kigeni/Pili kwa kuwapatia maarifa, mbinu na ujuzi wa kuwafundisha wageni na/au kuimarisha maarifa yao.
KEY TOPICS
By the end of the course participants will be able to:
Wadau wote wenye raghba ya kufundisha Kiswahili kama lugha ya kigeni/pili au wanaofanya kazi hiyo na ambao wangependa kuimarisha stadi zao za ufundishaji Mawasiliano Dkt. Salome J. Kotira – 0747 841 509 Baruapepe: iks@udsm.ac.tz au salomejerome91@gmail.com Bi. Levina Kisaka: 0736 264 282, levina.kisaka@udsm.ac.tz
Offered By : Kiswahili Language -
Taasisi ya Taaluma za Kiswahili
Cost: 500,000